1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maumivu makali ya hedhi hudhibitiwaje?

05:27

This browser does not support the video element.

26 Aprili 2024

Maumivu ya hedhi, wakati wa ngono, na matatizo ya usagaji chakula ni baadhi tu ya dalili zinazohusiana na endometriosis. Hali hiyo huathiri mwanamke mmoja kati ya kumi duniani kote. Ingawa kwa sasa hakuna tiba ya endometriosis, kuna njia za kuboresha maisha ya walioathirika. Katika mazungumzo haya ya dhati na Dk. Chinonso Egemba, Ritha anasimulia safari yake ya kupambana na ugonjwa huo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW