1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SafariKenya

Fukwe za Ziwa Victoria Siaya-Kenya zakumbwa na mafuriko

03:01

This browser does not support the video element.

17 Aprili 2023

Takriban familia 180 zinazoishi kwenye fuo za Ziwa Victoria jimbo la Siaya eneo la Nyanza huko Kenya zimeachwa bila makao baada ya mvua nyingi inayonyesha maeneo mbali mbali nchini humo kusababisha mafuriko. Fuatilia Zaidi katika video ya Musa Naviye. #kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW